Mshambuliaji Edin Dzeko akikimbia kushangilia baada ya kuifungia AS Roma bao la kwanza dakika ya 30 kabla ya kuongeza lingine dakika ya 43 na kumsetia Cengiz Under kufunga la tatu dakika ya 50 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Olimpiki mjini Roma, Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EPL: Chelsea block Maresca move, seek compensation from Man City
-
Manchester City’s pursuit of Enzo Maresca as a potential successor to Pep
Guardiola has been complicated by a compensation dispute with Chelsea.
The post...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment