Antoine Griezmann akiinua mkono juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote mawili Ufaransa dakika ya 62 akimalizia pasi ya beki Lucas Hernández na dakika ya 80 kwa penalti baada ya Blaise Matuidi kuangushwa kwenye boksi katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ujerumani kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Bao la Ujerumani lilifungwa na Toni Kroos dakika ya 14 kwa penalti pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Real Madrid eye Jurgen Klopp and Mauricio Pochettino as potential next
managers - if they sack Alvaro Arbeloa after Champions League exit to
Bayern Munich
-
TOM COLLOMOSSE: Madrid were knocked out of the Champions League by Bayern
Munich on Wednesday and are nine points adrift of Barcelona in La Liga.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment