Antoine Griezmann akiinua mkono juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao yote mawili Ufaransa dakika ya 62 akimalizia pasi ya beki Lucas Hernández na dakika ya 80 kwa penalti baada ya Blaise Matuidi kuangushwa kwenye boksi katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ujerumani kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Bao la Ujerumani lilifungwa na Toni Kroos dakika ya 14 kwa penalti pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside LeBron James's family feud with new Philadelphia 76ers teammate amid
the bombshell move that rocked the NBA
-
The 41-year-old, who left the Lakers after eight seasons, admitted he
thought he had played his final game, but has decided instead to sign a
two-year deal...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment