Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili DC United dakika ya nane na la penalti dakika ya 74 na kutoa pasi ya bao lingine lililofungwa na Luciano Acosta dakika ya 24 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya New York City ambao bao lao lilifungwa na David Vill dakika ya 78 Uwanja wa Audi Field mjini Washington, District of Columbia katika Ligi ya Marekani (MLS) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce's ex Kayla Nicole slams Taylor Swift fans over abuse ahead of
'Tortured Poets Department' release... amid rumors that one of the songs is
about the Chiefs tight end: 'Everyone has a breaking point'
-
As rumors swirl about Taylor Swift writing a song about Travis Kelce and
including it in her upcoming album, Kelce's ex-girlfriend is clapping back
at Swif...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment