Wachezaji wa Tottenham Hotspur, Kieran Trippier (kushoto) na Harry Winks (kulia) wakimpongeza Raheem Sterling wa Manchester City baada ya kuifungia England mabao mawili dakika za 16 na 38 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, Hispania kwenye mchezo wa Kundi la Nne michuano ya Ligi ya Mataifa ya Ulaya. Bao la pili la England lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 29 wakati ya Hispani yalifungwa na Paco Alcacer dakika ya 58 na Sergio Ramos dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
El-Sayed Speaks With Obama As Michigan Democrats Seek Unity
-
Michigan Democratic Senate nominee Abdul El-Sayed has spoken with former
U.S. President Barack Obama as Democrats seek to unite following a divisive
primary.
15 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment