Wachezaji wa Tottenham Hotspur, Kieran Trippier (kushoto) na Harry Winks (kulia) wakimpongeza Raheem Sterling wa Manchester City baada ya kuifungia England mabao mawili dakika za 16 na 38 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, Hispania kwenye mchezo wa Kundi la Nne michuano ya Ligi ya Mataifa ya Ulaya. Bao la pili la England lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 29 wakati ya Hispani yalifungwa na Paco Alcacer dakika ya 58 na Sergio Ramos dakika ya saba ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Xabi Alonso reveals he has held private talks with Estevao over lack of
game time - and amid reports in Brazil the forward is concerned about his
Blues future
-
KIERAN GILL: Alonso has held private talks with Estevao Willian amid
speculation that Chelsea's Brazilian boy wonder is concerned with his lack
of opportun...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment