Kiungo David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 30 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Shakhtar Donetsk usiku wa Jumanne Uwanja wa Oblasny Sport Complex Metalist mjini Kharkiv, Ukraine kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Aymeric Laporte dakika ya 35 na Bernardo Silva dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lakers Rumors: Terry Stotts Interviews for HC Job; Ham, Atkinson to Meet with LA
-
The Los Angeles Lakers hea The Los Angeles Lakers hosted former Portland
Trail Blazers head coach Terry Stotts for an in-person interview on Tuesday
for th...
Dakika 26 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni