Kinda Muingereza, Jadon Sancho akimzunguka kipa wa Atletico Madrid, Jan Oblak kabla ya kuifungia Borussia Dortmund bao la tatu dakika ya 83 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund usiku wa jana. Mabao mengine Borussia Dortmund yalifungwa na Axel Witsel dakika ya 38, Raphael Guerreiro dakika ya 73 na 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Black Stars: Ghana FA should announce the new head coach soon- Alhaji GrunsahÂ
-
Veteran Ghanaian football administrator Alhaji Karim Grunsah has urged the
Ghana FA to announce a coach for the Black Stars ahead of the upcoming
Africa Cu...
Dakika 28 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni