Kinda Muingereza, Jadon Sancho akimzunguka kipa wa Atletico Madrid, Jan Oblak kabla ya kuifungia Borussia Dortmund bao la tatu dakika ya 83 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund usiku wa jana. Mabao mengine Borussia Dortmund yalifungwa na Axel Witsel dakika ya 38, Raphael Guerreiro dakika ya 73 na 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iranian World Cup team risks more Trump fury with defiant act after landing
in Mexico amid bitter visa feud
-
Amid the ongoing conflict between the two countries, America has refused to
issue visas to some members of Iran's staff for the 2026 World Cup, which
gets ...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment