Kinda Muingereza, Jadon Sancho akimzunguka kipa wa Atletico Madrid, Jan Oblak kabla ya kuifungia Borussia Dortmund bao la tatu dakika ya 83 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund usiku wa jana. Mabao mengine Borussia Dortmund yalifungwa na Axel Witsel dakika ya 38, Raphael Guerreiro dakika ya 73 na 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dave Portnoy reveals HUGE $150,000 bet on the Stanley Cup winner... which
would give Barstool boss $1MILLION profit as he aims to continue hot streak
-
Portnoy has the Edmonton Oilers winning the Cup at +700 odds on DraftKings
SportsBook. A win for the Oilers will extend Portnoy's hot streak in sports
bett...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment