Sadio Mane akipongezwa na Xherdan Shaqiri baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 66 na 87 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Cardiff kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 10 na Shaqiri dakika ya 84, wakati la Cardiff limefungwa na Callum Paterson dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jets Rumors: Chiefs FA Mecole Hardman Agrees to Contract Amid Aaron Rodgers Buzz
-
If Aaron Rodgers ultimately gets traded to the New York Jets, he'll have
plenty of weapons at his disposal. The team reportedly signed free-agent
wide…
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment