Sadio Mane akipongezwa na Xherdan Shaqiri baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 66 na 87 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Cardiff kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 10 na Shaqiri dakika ya 84, wakati la Cardiff limefungwa na Callum Paterson dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why sorry isn't enough for Gary Lineker, writes IAN HERBERT
-
IAN HERBERT: The grief Lineker feels about his 30-year BBC career ending
this way was written across his face as he broadcast the much-anticipated
news tha...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment