Sadio Mane akipongezwa na Xherdan Shaqiri baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 66 na 87 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Cardiff kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 10 na Shaqiri dakika ya 84, wakati la Cardiff limefungwa na Callum Paterson dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates NFL Mock Draft 2024: J.J. McCarthy to Vikings Among Final
Predictions
-
J.J. McCarthy has been linked to the Minnesota Vikings since the moment
they lost Kirk Cousins to the Atlanta Falcons in free agency. That doesn't
change in…
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment