Mshambuliaji Danny Welbeck akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao pekee dakika ya 77 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Sporting Lisbon kwenye mchezo wa Kundi E Europa League usiku wa jana Uwanja wa Jose Alvalade, huo ukiwa ushindi wa 11 mfululizo kwa kikosi cha kocha Unai Emery PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🏆 Champions League returns: all you need to know about the last 16
-
The UEFA Champions League enters its most exciting phase. After a draw that
resulted in matchups worthy of an early final, the 16 best teams on the
contine...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment