Karim Benzema na Gareth Bale wakisikitika baada ya Real Madrid kupoteza tena mechi kufuatia kufungwa nyumbani, Uwanja wa Santiago Bernabeu mabao 2-1 na Levante katika mchezo wa La Liga leo. Mabao ya Levante yamefungwa Jose Luis Morales dakika ya sita na Roger Marti dakika ya 13 kwa penalti kabla ya Marcelo kuifungia Real Madrid la kufutia machozi dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans rage as Nicolas Jackson 'gets away' with 'deliberately stomping' on
Takehiro Tomiyasu during Arsenal's clash with Chelsea
-
Fans are furious over the fact Nicolas Jackson 'got away' with
'deliberately stomping' on Takehiro Tomiyasu.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment