Mshambuliaji Luis Suarez akiruka juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu kwa penalti dakika ya 63 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Philippe Coutinho dakika ya pili, Lionel Messi dakika ya 12 na Ivan Rakitic dakika ya 88, wakati ya Sevilla yalifungwa na Clément Lenglet aliyejifunga dakika ya 79 na Luis Muriel dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie football in mourning as Rale Rasic dies after coaching Socceroos to their first World Cup
-
Rale Rasic, the man who famously coached the Socceroos to their first World
Cup in 1974, has died. He was inducted into the Sport Australia Hall of
Fame in...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment