Mshambuliaji Luis Suarez akiruka juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu kwa penalti dakika ya 63 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Philippe Coutinho dakika ya pili, Lionel Messi dakika ya 12 na Ivan Rakitic dakika ya 88, wakati ya Sevilla yalifungwa na Clément Lenglet aliyejifunga dakika ya 79 na Luis Muriel dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scottie Scheffler claims third major at the PGA Championship as Jon Rahm
collapses over the final holes
-
Scottie Scheffler won the PGA Championship in impressive fashion, a final
round of 71 enough to see him claim a five-shot victory at Quail Hollow
Country C...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment