Mshambuliaji Luis Suarez akiruka juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu kwa penalti dakika ya 63 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Philippe Coutinho dakika ya pili, Lionel Messi dakika ya 12 na Ivan Rakitic dakika ya 88, wakati ya Sevilla yalifungwa na Clément Lenglet aliyejifunga dakika ya 79 na Luis Muriel dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brendon McCullum wants England to take risks to become the best Team team in the world
-
The Kiwi, boldly chosen by Rob Key to drag England off the bottom of the
World Test Championship, will look at how his friend, Eoin Morgan,
transformed Eng...
Dakika 51 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni