Mshambuliaji Luis Suarez akiruka juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu kwa penalti dakika ya 63 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Philippe Coutinho dakika ya pili, Lionel Messi dakika ya 12 na Ivan Rakitic dakika ya 88, wakati ya Sevilla yalifungwa na Clément Lenglet aliyejifunga dakika ya 79 na Luis Muriel dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
 Dreams FC coach Karim Zito says he will change game plan against Zamalek
in Kumasi
-
Dreams FC coach Abdul Karim Zito is gearing up to tweak his team's strategy
for their upcoming clash against Zamalek SC in Kumasi following their
impressiv...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment