Mshambuliaji wa Crystal Palace, Wilfried Zaha akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Arsenal, Alex Iwobi na Matteo Guendouzi katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park mjini London timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Arsenal yalifungwa na Granit Xhaka dakika ya 51 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 56, wakati ya Palace yalifungwa na Luka Milivojevic yote kwa penalti dakika za 45 na 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Commended by Fans After Tyler Guyton Pick, Trade Back in 2024 NFL
Draft
-
The Dallas Cowboys used their first-round pick of Thursday's NFL draft to
take Oklahoma offensive tackle Tyler Guyton. The Cowboys originally had the
24th…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment