Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund mabao mawili dakika za 27 na 61 katika sare ya 2-2 na Hertha Berlin katika mchezo wa Bundesliga leo Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Mabao ya Hertha Berlin nayo yote yamefungwa na Salomon Kalou dakika ya 41 na 90 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Rumors: Ezekiel Elliott's Reps Meeting at Facility Ahead of 2024
NFL Draft
-
The Dallas Cowboys hosted a visit with a representative for free-agent
running back Ezekiel Elliott, according to Josina Anderson of CBS Sports.
Elliott sp...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment