Jadon Sancho akishangilia baada ya kuifungia Borussia Dortmund mabao mawili dakika za 27 na 61 katika sare ya 2-2 na Hertha Berlin katika mchezo wa Bundesliga leo Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Mabao ya Hertha Berlin nayo yote yamefungwa na Salomon Kalou dakika ya 41 na 90 kwa penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Floyd Mayweather, Anderson Silva Dubai Boxing Exhibition Card Rescheduled for May 21
-
Floyd *This article will be updated soon to provide more information and
analysis. *
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni