Mshambuliaji Kylian Mbappe akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Ufaransa bao la kusawazisha dakika ya 90 kwa penalti katika sare ya 2-2 na Iceland usiku wa jana Uwanja wa Roudourou mjini Guingamp kwenye mchezo wa kirafiki. Iceland ilitangulia kwa mabao ya Birkir Bjarnason dakika ya 30 na Kari Arnason dakika ya 58, kabla ya Holmar Orn Eyjolfsson kujifunga kuipatia bao la kwanza Ufaransa dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Japan fight back twice to earn 2-2 draw with Netherlands
-
Japan produced a spirited comeback to hold Netherlands to a thrilling 2-2
draw in their opening Group F match at the 2026 FIFA World Cup in Dallas.
The p...
12 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment