Mshambuliaji Kylian Mbappe akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Ufaransa bao la kusawazisha dakika ya 90 kwa penalti katika sare ya 2-2 na Iceland usiku wa jana Uwanja wa Roudourou mjini Guingamp kwenye mchezo wa kirafiki. Iceland ilitangulia kwa mabao ya Birkir Bjarnason dakika ya 30 na Kari Arnason dakika ya 58, kabla ya Holmar Orn Eyjolfsson kujifunga kuipatia bao la kwanza Ufaransa dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal wonderboy Max Dowman, 16, faces being LEFT OUT of their Premier
League title charge to focus on his GCSEs - despite his record-breaking
goal, claims Wayne Rooney
-
Dowman, 16, stole the headlines on Saturday after he led the Gunners to a
crucial 2-0 win over Everton to send Mikel Arteta's side nine points clear
of Man...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment