Mshambuliaji Kylian Mbappe akishangilia kishujaa baada ya kuifungia Ufaransa bao la kusawazisha dakika ya 90 kwa penalti katika sare ya 2-2 na Iceland usiku wa jana Uwanja wa Roudourou mjini Guingamp kwenye mchezo wa kirafiki. Iceland ilitangulia kwa mabao ya Birkir Bjarnason dakika ya 30 na Kari Arnason dakika ya 58, kabla ya Holmar Orn Eyjolfsson kujifunga kuipatia bao la kwanza Ufaransa dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cameron Young breaks Matt Fitzpatrick's heart to win Players Championship
and take home $4.5m prize money after dramatic final round
-
After Ludvig Aberg threw away a final-round lead, Young made a crucial
birdie on the par-three 17th to set up a one-hole showdown with England's
world No 24.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment