Mshambuliaji wa Argentina, Lautaro Martinez akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Iraq usiku wa jana Uwanja wa Prince Faisal bin Fahd mjini Riyadh. Mabao mengine ya Argentina yalifungwa na Roberto Pereyra dakika ya 53, German Pezzella dakika ya 82 na Franco Cervi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The top six stars in the FWA Footballer of the Year voting as
Phil Foden is crowned the winner - with just TWO foreign players included
-
Foden, 23, has enjoyed his best season to date amid City's push for an
astonishing fourth successive Premier League title, emerging Pep
Guardiola's most im...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment