Mshambuliaji wa Argentina, Lautaro Martinez akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Iraq usiku wa jana Uwanja wa Prince Faisal bin Fahd mjini Riyadh. Mabao mengine ya Argentina yalifungwa na Roberto Pereyra dakika ya 53, German Pezzella dakika ya 82 na Franco Cervi dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea fined and given suspended transfer ban over £47m secret payments
-
Chelsea have been handed a £10.75m fine and given a suspended transfer ban
after breaching Premier League rules over financial reporting, third-party
inves...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment