Bondia Sefer Seferi wa Albania akiwa amemshika miguu mpinzani wake, Muingereza Tyson Fury kumpunguza kasi baada ya kuelemewa na kipigo katika pambano lisilo la ubingwa la uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa Manchester Arena, zamani M.E.N Arena mjini Manchester. Seferi aligoma kuendelea na pambano raundi ya nne akibaki kwenye kona yake baada ya raundi ya tatu na Fury aliyekuwa anapigana kwa mara ya kwanza tangu Februari mwaka 2015 alipofungiwa kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu zilizopigwa marufuku michezoni akashinda kwa Technical Knockout (TKO) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Saudi Arabia pulls the plug on £6billion LIV Golf: Breakaway league
announces they need new money - after being abandoned by backers with top
players' futures in doubt
-
LIV Golf has stated its aim to secure long-term funding in the wake of
Saudi Arabia's decision to plug the plug and abandon the project.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment