Mshambuliaji Mbwana Samatta wa KRC Genk ya Ubelgiji akipasua katikati ya Said Ndemla (kushoto) na Abdi Kassim 'Babbi' wa timu ya mwanamuziki Ali Kiba na Marafiki zake jana katika mchezo wa kirafiki wa Hisani uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu ya Samatta na Rafiki zake ilishinda 4-2
Kiungo Mrisho Ngassa akijivuta kupiga mpira pembeni ya James Msuva
Mohammed Bin Slum na Ally Kiba wakimdhibiti Issa Rashid 'Baba Ubaya' wa timu Samatta
Amri Kiemba wa Team Samatta akimiliki mpira pembeni ya Shaaban Kisiga wa Team Kiba
Ibrahim Ajibu wa Team Kiba akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Team Samatta
Rashid Mandawa akiwapita wachezaj wa Team Kiba
Kiungo Said Ndemla wa Team Kiba akimiliki mpira mbele ya Henry Joseph wa Team Samatta
Ally Kiba akimtambulisha Abdi Kassim 'Babbi' kwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo kabla ya mechi kuanza jana
Kikosi cha Team Kiba kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Team Samatta kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Syrian government confirms detention of missing German journalist
-
The Syrian government confirmed Thursday that a German journalist who went
missing months ago is detained in Syria. Eva Maria Michelmann, 36, was last
seen...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment