Mshambuliaji Mbwana Samatta wa KRC Genk ya Ubelgiji akipasua katikati ya Said Ndemla (kushoto) na Abdi Kassim 'Babbi' wa timu ya mwanamuziki Ali Kiba na Marafiki zake jana katika mchezo wa kirafiki wa Hisani uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu ya Samatta na Rafiki zake ilishinda 4-2
Kiungo Mrisho Ngassa akijivuta kupiga mpira pembeni ya James Msuva
Mohammed Bin Slum na Ally Kiba wakimdhibiti Issa Rashid 'Baba Ubaya' wa timu Samatta
Amri Kiemba wa Team Samatta akimiliki mpira pembeni ya Shaaban Kisiga wa Team Kiba
Ibrahim Ajibu wa Team Kiba akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Team Samatta
Rashid Mandawa akiwapita wachezaj wa Team Kiba
Kiungo Said Ndemla wa Team Kiba akimiliki mpira mbele ya Henry Joseph wa Team Samatta
Ally Kiba akimtambulisha Abdi Kassim 'Babbi' kwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo kabla ya mechi kuanza jana
Kikosi cha Team Kiba kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
Kikosi cha Team Samatta kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Taifa
'He doesn't look right AT ALL': Gary Neville and Roy Keane lead critics in
picking out Bukayo Saka and other wingers as England's World Cup problem -
and predict when they will be knocked out
-
Saka has been having a persistent Achilles problem managed by the FA, after
playing through pain during the run-in for Arsenal at the end of last
season.
3 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment