Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akiwahutubia mamia ya wanachama wa klabu ya Yanga waliojitokeza kwenye mkutano mkuu wa mwaka Bwalo la Maafisa wa Jeshi la Polisi, Oysterbay mjini Dar es Salaam leo
Mamia ya wanachama wa klabu ya Yanga waliojitokeza kwenye mkutano mkuu wa mwaka Bwalo la Maafisa wa Jeshi la Polisi, Oysterbay mjini Dar es Salaam leo
Wanachama wa klabu ya Yanga waliojitokeza kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa klabu yao leo
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akiondoka baada ya kufungua mkutano
Kiongozi wa zamani wa Yanga, Mussa Katabaro pamoja na kwamba ni mgonjwa ametoka kufanyiwa upasuaji wa mguu hivi karibuni nchini India kufuatia ajali mbaya ya gari, lakini kwa mapenzi na klabu yake amejitokeza mkutanoni
Rais wa kwanza wa Yanga kabla ya klabu kurejea kwenye mfumo wa Mwenyekiti kama kiongozi mkuu, Tarimba Abbas alikuwepo pia leo
Chelsea 'plot £47m swoop for Brazilian wonderkid, 17, dubbed "Messinho"' -
who's a team-mate of Endrick but played just 12 times!
-
Estevao Willian, 17, has gained the nickname 'Messinho' for his
performances on the wing after coming through the academy of Palmeiras.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment