Kocha Mkuu wa Simba SC, Mfaransa Pierre Lechantre akiwa na Msaidizi wake, kocha wa mazoezi ya viungo, Mtunisia Aymen Mohammed Hbibi hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro, Dar es Salaam leo wakati wa tuzo za Mo Simba. Wawili hao wametofautiana na uongozi na wamesusa kazi tangu wiki iliyopita nchini Kenya kwenye michuano ya SportPesa Super Cup na hadi sasa mustakabali wao haujulikani, ingawa taarifa zinasema wanaondoka
Brighton dominate ten-man Villa
-
Brighton start their season with an emphatic win at home against Europa
League winners Aston Villa, with four first-half goals.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment