Gwiji wa Manchester United, Mfaransa Eric Cantona (kulia) katika umri wa miaka 52 akiwa Uwanja wa Old Trafford jana wakati wa mchezo wa Soccer Aid baina ya kikosi cha Dunia, World XI dhidi ya England XI. England ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare ya 3-3. Mabao ya England yalifungwa na Darren Bent, nyota wa F2 Freestyle, Jeremy Lynch na Michael Owen ya kikosi cha Dunia yalifungwa na Robbie Keane, nyota wa zamani wa Man United, Juan Veron na Clarence Seedorf kabla ya matuta kuamua mshindi kipa David Seaman akimfunika Edwin Van der Sar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The military is searching for a US Marine missing off the coast of
California
-
Multiple agencies continued to search Sunday for a U.S. Marine who went
missing during a training exercise off the coast of southern California,
military o...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment