Gwiji wa Manchester United, Mfaransa Eric Cantona (kulia) katika umri wa miaka 52 akiwa Uwanja wa Old Trafford jana wakati wa mchezo wa Soccer Aid baina ya kikosi cha Dunia, World XI dhidi ya England XI. England ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare ya 3-3. Mabao ya England yalifungwa na Darren Bent, nyota wa F2 Freestyle, Jeremy Lynch na Michael Owen ya kikosi cha Dunia yalifungwa na Robbie Keane, nyota wa zamani wa Man United, Juan Veron na Clarence Seedorf kabla ya matuta kuamua mshindi kipa David Seaman akimfunika Edwin Van der Sar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Supply Shocks And Recession Risk: A Guide For Business Leaders
-
Recessions rarely come from booms gone bust — they strike when small shocks
pile up or one big shock comes along. Implications for business planning
and ri...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment