Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kusawazisha dakika ya 82 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Atletico Madrid walioangulia kwa bao la Saul Niguez dakika ya 21 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
10 best midfielders at the 2026 World Cup
-
Goal-scoring will never go out of fashion, and they’ve always said that
“defense wins championships,” but soccer continues to revolve around the
engine r...
8 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment