Jupp Heynckes mwenye umri wa miaka 72 jana akiiongoza kwa mara ya kwanza Bayern Munich baada ya kurejea kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti aliyeondolewa ikishinda 5-0 dhidi ya Freiburg katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena. Mabao yalifungwa na Kingsley Coman, Thiago, Robert Lewandowski, Joshua Kimmich la kujifunga la Julian Schuster PICHA ZAIDI GONGA HAPA
10 best midfielders at the 2026 World Cup
-
Goal-scoring will never go out of fashion, and they’ve always said that
“defense wins championships,” but soccer continues to revolve around the
engine r...
7 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment