Jupp Heynckes mwenye umri wa miaka 72 jana akiiongoza kwa mara ya kwanza Bayern Munich baada ya kurejea kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti aliyeondolewa ikishinda 5-0 dhidi ya Freiburg katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena. Mabao yalifungwa na Kingsley Coman, Thiago, Robert Lewandowski, Joshua Kimmich la kujifunga la Julian Schuster PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Heartbreaking video emerges of cricket star Josh Baker taking three wickets
in his last match just hours before his death aged 20
-
The cricket world was sent into shock on Thursday when Baker's club
revealed the 20-year-old had passed away before tributes began to flow in
for the talen...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment