Jupp Heynckes mwenye umri wa miaka 72 jana akiiongoza kwa mara ya kwanza Bayern Munich baada ya kurejea kuchukua nafasi ya Carlo Ancelotti aliyeondolewa ikishinda 5-0 dhidi ya Freiburg katika mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena. Mabao yalifungwa na Kingsley Coman, Thiago, Robert Lewandowski, Joshua Kimmich la kujifunga la Julian Schuster PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Zealand Warriors star's courageous act of sacrifice to produce NRL
moment for the ages
-
Roger Tuivasa-Sheck is in the twilight of his footy career - but the
veteran turned back the clock on Friday with an inspiring play his Warriors
teammates ...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment