Mwanasoka bora wa zamani wa dunia, Ricardo Izecson dos Santos 'Kaka' akibubujikwa machozi jana kabla ya mchezo wa mwisho kuichezea timu yake, Orlando City ikifungwa 1-0 na Columbus Crew katika Ligi ya Marekani, maarufu kama MLS Uwanja wa Orlando City mjini Orlando, Florida. Kaka anaondoka Orlando baada ya kuifungia mabao 24 katika mechi 73 tangu mwaka 2014 alipojiunga nayo akitokea AC Milan, baada ya kuzichezea Sao Paulo ya kwao, Brazil na Real Madrid ya Hispania, lakini hajasema kama anastaafu moja kwa moja au atakwenda kuendelea kucheza sehemu nyingine PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Soccer legend Fernando Torres makes bizarre appearance at the NFL Draft as
the former Chelsea and Liverpool striker announces the Miami Dolphins'
sixth-round pick from Madrid
-
Soccer legend Fernando Torres made a bizarre surprise appearance at the NFL
Draft, announcing a sixth-round draft pick for the Miami Dolphins. The
former S...
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment