Nahodha wa Inter Milan, Mauro Icardi akiwa amevua jezi kuwaonyesha mashabiki baada ya kufunga hat trick katika ushindi wa 3-2 wa Inter Milan usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza au San Siro mjini Milan. Icardi alifunga dakika za 28, 63 na 90 kwa penalti ya utata wakati mabao ya AC Milan yalifungwa na Suso dakika ya 56 na Samir Handanovic aliyejifunga dakika ya 81 katika mechi kali ya Serie A ya mahasimu wa Jiji la Milan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Unwell' Alan Brazil unable to work at Cheltenham for a second day in a row
- a month after he was taken off air sick from his talkSPORT show
-
Alan Brazil is unable to present his talkSPORT breakfast show for the
second day running, with the much-loved broadcaster missing Cheltenham Gold
Cup day.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment