Nahodha wa Inter Milan, Mauro Icardi akiwa amevua jezi kuwaonyesha mashabiki baada ya kufunga hat trick katika ushindi wa 3-2 wa Inter Milan usiku wa jana Uwanja wa Giuseppe Meazza au San Siro mjini Milan. Icardi alifunga dakika za 28, 63 na 90 kwa penalti ya utata wakati mabao ya AC Milan yalifungwa na Suso dakika ya 56 na Samir Handanovic aliyejifunga dakika ya 81 katika mechi kali ya Serie A ya mahasimu wa Jiji la Milan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump rejects offer to join breakaway snooker tour
-
Former world champion Judd Trump reveals he rejected an approach to join a
potential breakaway snooker tour, saying he was “not interested one bit”.
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment