• HABARI MPYA

    Tuesday, April 14, 2015

    TOTO LA MARTIN KEOWN LAIADHIBU ARSENAL, YAPIGWA 1-0 NA READING ENGLAND


    Kiungo aliyekuwa majeruhi wa muda mrefu, Jack Wilshere ameanza taratibu kwa kuchezea kikosi cha Arsenal cha U21 ambacho jana kilifungwa 1-0 na Reading, bao pekee la mtoto wa Martin Keown, aitwaye Niall Keown.

    Jack Wilshere


    Wachezaji wa kikosi cha kwanza cha The Gunners, Wilshere na Diaby (kulia) kwa sasa wanachezea timu ya vijana ili kujiweka fiti baada ya kuwa nje muda mrefu kwa sababu ya majeruhi

    PICHA ZAIDI NENDA: 

    http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3037537/Arsenal-U21s-0-1-Reading-U21s-Jack-Wilshere-comes-captain.html#ixzz3XFrw2EYs 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TOTO LA MARTIN KEOWN LAIADHIBU ARSENAL, YAPIGWA 1-0 NA READING ENGLAND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top