// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); YANGA SC NA POLISI KATIKA PICHA JANA AMAAN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE YANGA SC NA POLISI KATIKA PICHA JANA AMAAN - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, January 05, 2015

    YANGA SC NA POLISI KATIKA PICHA JANA AMAAN

    Winga wa Yanga SC, Simon Msuva akimtoka beki wa Polisi katika mchezo wa Kundi A, Kombe la Mapinduzi jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Yanga SC ilishinda 4-0.
    Beki wa Polisi akiwa amemuangusha Msuva nje kidogo ya boksi
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Amisi Tambwe (kushoto) akimtoka beki wa Polisi
    Kiungo wa Yanga SC, Andrey Coutinho akitafuta maarifa ya kumtoka beki wa Polisi
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Kpah Sherman akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Polisi
    Beki wa Polisi akiinua mguu kuondosha mpira kwenye himaya ya Coutinho

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA POLISI KATIKA PICHA JANA AMAAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top