// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); DI MARIA AREJEA UWANJANI NA KUIPA USHINDI MAN UNITED KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE DI MARIA AREJEA UWANJANI NA KUIPA USHINDI MAN UNITED KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, January 05, 2015

    DI MARIA AREJEA UWANJANI NA KUIPA USHINDI MAN UNITED KOMBE LA FA

    Angel di Maria celebrates after securing United's victory with a late chipped effort in the last minute
    Winga wa Manchester United, Muargentina Angel di Maria akishangilia baada ya kuwafungia Mashetani hao Wekundu bao la pili dakika ya 89 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Yeovil Town mchezo wa Kombe la FA, Bao lingine la United lilifungwa na Ander Herrera dakika ya 64 na United imetinga Raundi ya nne ya michuano hiyo. Di Maria amerejea uwanjani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu sababu ya majeruhi.

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2896344/Yeovil-Town-0-2-Manchester-United-Ander-Herrera-wonder-strike-sees-Louis-van-Gaal-s-advance-FA-Cup.html#ixzz3NtJLgetW 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DI MARIA AREJEA UWANJANI NA KUIPA USHINDI MAN UNITED KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top