// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); AZAM FC NA KCCA KATIKA PICHA JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE AZAM FC NA KCCA KATIKA PICHA JANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, January 03, 2015

    AZAM FC NA KCCA KATIKA PICHA JANA

    Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya (kushoto) akipambana na wachezaji wa KCCA katika mchezo wa Kundi B, Kombe la Mapinduzi jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2.
    Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco akipambana na beki wa KCCA
    Kiungo wa Azam FC, Himid Mao akimtoka beki wa KCCA
    Kiungo wa Azam FC, Amei Kiemba akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa KCCA
    Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akimlamba chenga mchezaji wa KCCA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC NA KCCA KATIKA PICHA JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top