// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); KOPUNOVIC ALIVYOANZA KAZI SIMBS SC JANA, MTIHANI WA KWANZA LEO NA MAFUNZO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KOPUNOVIC ALIVYOANZA KAZI SIMBS SC JANA, MTIHANI WA KWANZA LEO NA MAFUNZO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, January 03, 2015

    KOPUNOVIC ALIVYOANZA KAZI SIMBS SC JANA, MTIHANI WA KWANZA LEO NA MAFUNZO

    Kocha mpya wa Simba SC, Mserbia Goran Kopunovic akiongoza mazoezi ya timu hiyo jana Uwanja wa visiwani Zanzibar. Goran alianza kazi jana akirithi mikoba ya Mzambia, Patrick Phiri aliyetimuliwa na leo anatarajiwa kuiongoza timu hiyo katika mechi na Mafunzo Kombe la Mapinduzi Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
    Goran jana aliwapa wachezaji mazoezi ya mbio zaidi
    Kutoka kulia Ibrahim Hajibu, Awadh Juma na Elias Maguri
    Baadaye Goran aliwata wachezaji wa nafasi zote, makipa, mabeki, viungo na washambuliaji kuwapa mbinu za uchezaji. Hapa anazungumza na viungo
    Goran akimuelekeza kwa vitendo Awadh Juma
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOPUNOVIC ALIVYOANZA KAZI SIMBS SC JANA, MTIHANI WA KWANZA LEO NA MAFUNZO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top