BAO pekee la kiungo Raphael Daudi Lothi dakika ya 38 limeipa Ihefu SC ushindi wa 1-0 ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Highland Estate huko Ubaruku, Mbarali mkoani Mbeya. Kwa ushindi huo, Ihefu SC inafikisha pointi 33 na kusogea nafasi ya sita, wakati Azam FC inabaki na pointi zake 47 nafasi ya nne baada ya wote kucheza mechi 25.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment