Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la ushindi dakika ya 88 kwa penalti ikiilaza 3-2 Southampton na kutinga Raundi ya Tano ya Kombe la FA England Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jack Stephens aliyejifunga dakika ya 12 na Lucas Moura dakika ya 78, wakati ya Southampton yalifungwa na Shane Long dakika ya 34 na Danny Ings dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: Everything to know about England vs Croatia match
-
England and Croatia will renew their modern World Cup rivalry when both
sides clash in a highly anticipated Group L encounter at the 2026 FIFA
World Cup....
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment