Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la ushindi dakika ya 88 kwa penalti ikiilaza 3-2 Southampton na kutinga Raundi ya Tano ya Kombe la FA England Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jack Stephens aliyejifunga dakika ya 12 na Lucas Moura dakika ya 78, wakati ya Southampton yalifungwa na Shane Long dakika ya 34 na Danny Ings dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bernard Tomic and girlfriend Keely Hannah spotted on the Gold Coast as
reason behind betting probe from previous matches is revealed
-
One-time Aussie tennis star Bernard Tomic has been spotted on the Gold
Coast with his girlfriend the day after a betting probe was revealed
involving two m...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment