Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la ushindi dakika ya 88 kwa penalti ikiilaza 3-2 Southampton na kutinga Raundi ya Tano ya Kombe la FA England Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jack Stephens aliyejifunga dakika ya 12 na Lucas Moura dakika ya 78, wakati ya Southampton yalifungwa na Shane Long dakika ya 34 na Danny Ings dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eddie McCreadie dead at 85: Chelsea legend passes away as tributes pour in
for former Scotland left-back
-
Legendary former Chelsea defender Eddie McCreadie has passed away at the
age of 85.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment