Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la ushindi dakika ya 88 kwa penalti ikiilaza 3-2 Southampton na kutinga Raundi ya Tano ya Kombe la FA England Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jack Stephens aliyejifunga dakika ya 12 na Lucas Moura dakika ya 78, wakati ya Southampton yalifungwa na Shane Long dakika ya 34 na Danny Ings dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Your cheat sheet to beat the bookies on day one at Cheltenham, JP McManus
is primed for birthday success and Sir Anthony McCoy's marathon challenge:
CHELTENHAM BREAKFAST
-
CHELTENHAM BREAKFAST: Nobody wants to win at Cheltenham more than JP
McManus and it will be fascinating to see how many times he hits the
bullseye this week.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment