SIMBA SC WAHAMISHIA HASIRA ZOTE KWA MBEYA CITY BAADA YA KUPIGWA NA MWADUI
Kocha Mkuu wa Simba SC, Mbelgiji Patrick Aussems akielekea kwenye gari baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kutoka Mwanza walipounganisha usafiri wa anga wakitokea Shinyanga kwa usafari wa basi ambako Jumatano walifungwa 1-0 na Mwadui FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara
Wachezaji Ibrahim Ajibu (kushoto) na Haruna Shamte (kulia) baada ya kuwasili Dar es Salaam kuelekea mchezo wao ujao wa Ligi Kuu dhidi ya Mbeya City Jumapili Uwanja wa Uhuru
Miraj Athumani 'Madenge' mbele akifuatiwa na kipa Beno Kakolanya
Kiungo Francis Kahata baada ya kuwasili Dar es Salaam tayari kwa mchezo na Mbeya City Jumapili
ALL IN mit Salih Özcan
-
„Gestern war geil“, sagte unsere Nummer 6 am Tag nach dem Halbfinal-Einzug
in der UEFA Champions League. Aber wir blicken mit Salih Özcan auch voraus
– auf...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment