Bondia Mmexico, Canelo Alvarez akimtazama mpinzani wake, Mrusi Sergey Kovalev mwenye umri wa miaka 36 baada ya kumuangusha chini na kupata ushindi wa Knockout (KO) raundi ya 11 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand, Grand Garden Arena mjini Las Vegas Marekani. Kwa ushindi huo, Alvarez mwenye umri wa miaka 29 anakuwa bingwa wa WBO uzito Light Heavy na kuweka rekodi ya kushinda mataji manne ya dunia katika uzito tofauti kwenye ngumi za kulipwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: Belgium complete stunning comeback to knock out Senegal
-
Belgium produced one of the most dramatic comebacks of the 2026 FIFA World
Cup after fighting back from two goals down to beat Senegal 3-2 after extra
ti...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment