Ivan Rakitic akinyoosha mkono juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 26 akimalizia kazi nzuri ya Sergi Roberto ikiilaza Real Madrid 1-0 Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid katika mchezo La Liga. Kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 26, ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Atletico Madrid wanaofuatia nafasi ya pili ingawa wana mechi moja, wakati Real Madrid wanabaki nafasi ya tatu kwa pointi zao 48 za mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham Festival LIVE: Tips and results from Champions Day as Kopek Des
Bordes, Lossiemouth and The New Lion headline action-packed opening day
-
Follow Daily Mail Sport's live blog of day one at the 2026 Cheltenham
Festival as we bring you the latest tips, racecards and results from one of
the bigge...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment