Ivan Rakitic akinyoosha mkono juu kushangilia kishujaa baada ya kuifungia bao pekee Barcelona dakika ya 26 akimalizia kazi nzuri ya Sergi Roberto ikiilaza Real Madrid 1-0 Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid katika mchezo La Liga. Kwa ushindi huo, Barcelona inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 26, ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Atletico Madrid wanaofuatia nafasi ya pili ingawa wana mechi moja, wakati Real Madrid wanabaki nafasi ya tatu kwa pointi zao 48 za mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SPORTS AGENDA: Stars set to slum it in stands after Euros squad
expansion... while Man City officials may not need to worry about possible
clash with Barry Manilow at Co-op Live
-
MIKE KEEGAN: In a move authorised by Southgate, nations will now be able to
name as many as 15 substitutes. Germany's grounds have been made on the
assumpt...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment