Mshambuliaji Mario Balotelli akijirekodi video ambayo aliiposti muda huo huo Instagram wakati akishangilia baada ya kuifungia Marseille bao la kwanza dakika ya 12 kabla ya Florian Thauvin kufunga la pili kwa penalti dakika ya 21 kuiwezesha timu yao kushinda 2-0 dhidi ya Saint Etienne katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump will welcome Iran at World Cup - Infantino
-
US President Donald Trump has said Iran are "welcome" to take part in this
summer's World Cup despite the countries being at war, according to Fifa
preside...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment