Mshambuliaji Mario Balotelli akijirekodi video ambayo aliiposti muda huo huo Instagram wakati akishangilia baada ya kuifungia Marseille bao la kwanza dakika ya 12 kabla ya Florian Thauvin kufunga la pili kwa penalti dakika ya 21 kuiwezesha timu yao kushinda 2-0 dhidi ya Saint Etienne katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alexandre Pantoja, Steve Erceg's Next Best Fights After UFC 301 Results
-
Alexandre Pantoja is still the UFC flyweight champion, successfully
defending his belt with a unanimous decision win over Steve Erceg in the
main event of ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment