Mshambuliaji Mario Balotelli akijirekodi video ambayo aliiposti muda huo huo Instagram wakati akishangilia baada ya kuifungia Marseille bao la kwanza dakika ya 12 kabla ya Florian Thauvin kufunga la pili kwa penalti dakika ya 21 kuiwezesha timu yao kushinda 2-0 dhidi ya Saint Etienne katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Swans players allegedly claimed they were tradies to exotic dancers as
shattered teammates unite in powerful training huddle
-
Sydney Swans players reportedly told women they were carpenters before the
alleged incident that has plunged the AFL club into crisis
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment