Mshambuliaji Mario Balotelli akijirekodi video ambayo aliiposti muda huo huo Instagram wakati akishangilia baada ya kuifungia Marseille bao la kwanza dakika ya 12 kabla ya Florian Thauvin kufunga la pili kwa penalti dakika ya 21 kuiwezesha timu yao kushinda 2-0 dhidi ya Saint Etienne katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Named: The Premier League club whose fans will have to fork out nearly
£5,000 to follow their team this season - as staggering new data reveals
where every side ranks, with surprise No 1
-
New data has revealed that it could cost £5,000 to follow the most
expensive team in the Premier League this season home and away - and that's
a conservati...
8 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment