Mshambuliaji Mario Balotelli akijirekodi video ambayo aliiposti muda huo huo Instagram wakati akishangilia baada ya kuifungia Marseille bao la kwanza dakika ya 12 kabla ya Florian Thauvin kufunga la pili kwa penalti dakika ya 21 kuiwezesha timu yao kushinda 2-0 dhidi ya Saint Etienne katika mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Orange Velodrome mjini Marseille PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BBC offers 'Stay Up or Catch Up' for England v Mexico
-
The BBC will be launching a special 'Stay Up or Catch Up' offer for its
live coverage of England's game against Mexico at the 2026 World Cup.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment