Refa Jose Munuera akimuonyesha kadi nyekundu Lucas Vazquez wa Real Madrid baada ya kumuonyesha kadi ya pili ya njano na kumtoa nje dakika ya 61 kufuatia kumchezea rafu Mikel Merino wa Real Sociedad katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Santiago Bernabeu. Real Sociedad ilishinda 2-0, mabao ya Willian Jose kwa penalti dakika ya tatu na Ruben Pardo dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cavs Win Game 7 vs. Magic as Donovan Mitchell Outduels Paolo Banchero, Wows
NBA Fans
-
After trailing by as many as 18 points in the first half, the Cleveland
Cavaliers stormed back to defeat the Orlando Magic 106-94 in Game 7 of
their…
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment