Nahodha Jordan Henderson akishangilia na mfungaji wa bao pekee la Liverpool, Mohamed Salah kwa penalti dakika ya 50 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The AMEX. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 57 baada ya kucheza mechi 22 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu ya England kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City wanaofuatia katika nafasi ya pili ambao hata hivyo wana mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mason Greenwood isn't affected by insults from rival fans, says Getafe boss
Jose Bordalas... as he says LaLiga club will try and keep 'exemplary' Man
United loanee
-
Greenwood was targeted by Real Sociedad fans who branded him a 'rapist' and
told him to 'kill himself' during a LaLiga fixture the previous weekend.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment