Nahodha Jordan Henderson akishangilia na mfungaji wa bao pekee la Liverpool, Mohamed Salah kwa penalti dakika ya 50 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The AMEX. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 57 baada ya kucheza mechi 22 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu ya England kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City wanaofuatia katika nafasi ya pili ambao hata hivyo wana mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Elliot Anderson aims dig at Man United after sealing £116m move to Man City
as he declares: 'I've joined the kings of Manchester'
-
Anderson, 23, joins City on a five-year deal, signing a contract until the
summer of 2031, and becomes the second most expensive British transfer.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment