Wachezaji wa Crystal Palace wakimpongeza mwenzao, Connor Wickham baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tisa katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Bao la pili lilifungwa na Andros Townsend kwa penalti dakika ya 34 baada ya Kyle Walker-Peters kuushika mpira kwa mkono kwenye boksi, kabla ya Spurs nao kukosa penalti kufuatia mkwaju wa Kieran Trippier kutoka nje PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Champions League final: How Kylian Mbappe fallout has affected Real Madrid's build-up
-
This was supposed to be a dream week for Real Madrid, but they have spent
lots of time dealing with their failure to sign Kylian Mbappe, says Guillem
Balague.
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni