Wachezaji wa Crystal Palace wakimpongeza mwenzao, Connor Wickham baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tisa katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Bao la pili lilifungwa na Andros Townsend kwa penalti dakika ya 34 baada ya Kyle Walker-Peters kuushika mpira kwa mkono kwenye boksi, kabla ya Spurs nao kukosa penalti kufuatia mkwaju wa Kieran Trippier kutoka nje PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Marseille's crisis after Roberto De Zerbi: How Mason Greenwood's
'nonchalant attitude has irritated coaching staff', why he could leave the
club this summer - and the 'unrecognisable' former Spurs star who typifies
their dismal form
-
Marseille and chaos fit like hand in glove and this season has been a
typically bumpy ride for fans of the French club. Even a team bonding trip
to Marbell...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment