Lionel Messi na Luis Suarez wakipongezana baada ya wote kuifungia Barcelona katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Getafe usiku wa jana Uwanja wa Coliseum Alfonso Perez na kuendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Atlético Madrid. Messi alifunga dakika ya 20 na Suarez dakika ya 39, kabla ya Jaime Mata kuifungia Getafe dakika ya 43 na kwa ushindi huo Barcelona inafikisha pointi 40 baada ya kucheza mechi 18, ikiongoza La Liga mbele ya Atletico Madrid yenye pointi 35 za mechi 18 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham defenders Cristian Romero and Emerson Royal break into a heated
argument before Guglielmo Vicario intervenes during clash with Liverpool
-
The afternoon turned sour for Tottenham when Romero and Royal broke into an
argument in the middle of the pitch as both sets of players made their way
into...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment