• HABARI MPYA

    Thursday, January 24, 2019

    BEN YADDER AMLILIA SALA AKIIADHIBU BARCELONA KOMBE LA MFALME

    Wissam Ben Yedder akishangilia bao la pili aliloifungia Sevilla kwenye ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona kwenye Robo Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme Hispania jana kwa kufunua jezi yake kuonyesha maandishi ya kusikitikia kupotea kwa rafiki yake, mwanasoka mwenzake Emiliano Sala. Bao la kwanza la Sevilla lilifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 58 Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla na Sala alipotea mwanzoni mwa wiki kufuatia kuanguka kwa ndege binafsi aliyopanda kwa safari ya Uingereza kwenda kujiunga na klabu yake mpya, Cardiff City kutoka Ufaransa 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BEN YADDER AMLILIA SALA AKIIADHIBU BARCELONA KOMBE LA MFALME Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top