Wissam Ben Yedder akishangilia bao la pili aliloifungia Sevilla kwenye ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona kwenye Robo Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme Hispania jana kwa kufunua jezi yake kuonyesha maandishi ya kusikitikia kupotea kwa rafiki yake, mwanasoka mwenzake Emiliano Sala. Bao la kwanza la Sevilla lilifungwa na Pablo Sarabia dakika ya 58 Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla na Sala alipotea mwanzoni mwa wiki kufuatia kuanguka kwa ndege binafsi aliyopanda kwa safari ya Uingereza kwenda kujiunga na klabu yake mpya, Cardiff City kutoka Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ashley Cole names his dream XI made up of ex-Arsenal and Chelsea team-mates
after his Premier League Hall of Fame induction... so who makes the cut
along with Thierry Henry, Frank Lampard and John Terry?
-
The left-back became the 22nd inductee into the Premier League Hall of Fame
this week. He is widely regarded as the best left-back in Premier League
history.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment