Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kuongoza dakika ya tatu 1-1 kabla ya Harry Maguire kuisawazishia Leicester City katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Liverpool inafikisha pointi 61 baada ya sare ya jana katika mechi ya 24, ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi tano zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Marseille's crisis after Roberto De Zerbi: How Mason Greenwood's
'nonchalant attitude has irritated coaching staff', why he could leave the
club this summer - and the 'unrecognisable' former Spurs star who typifies
their dismal form
-
Marseille and chaos fit like hand in glove and this season has been a
typically bumpy ride for fans of the French club. Even a team bonding trip
to Marbell...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment