Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kuongoza dakika ya tatu 1-1 kabla ya Harry Maguire kuisawazishia Leicester City katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Liverpool inafikisha pointi 61 baada ya sare ya jana katika mechi ya 24, ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi tano zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Asante Kotoko writes to Ghana FA to postpone GPL matches until Ashantigold SC match is honoredÂ
-
Asante Kotoko SC has written to the Ghana Football Association to postpone
all Premier League matches until its outstanding game between Ashantigold
SC is ...
Dakika 22 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni