Frenkie de Jong akikabidhiwa jezi ya Barcelona na Rais wa klabu hiyo, Josep Maria Bartomeu baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 65 kutoka Ajax na kuifanya klabu hiyo ya Katalunya izipiku Manchester City na Paris Saint-Germain zilizokuwa zinamtaka pia kiungo huyo. Lakini de Jong aliyesaini mkataba wa miaka mitano atabakia Amsterdam hadi mwishoni mwa msimu ndipo atajiunga na klabu yake mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea: Frenkie de Jong is on the verge of joining but Thomas Tuchel will have a selection headache
-
How many midfielders is too many? Chelsea fans are understandably excited
about the prospect of signing of Frenkie de Jong - but his arrival could
give bos...
Dakika 18 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni