Frenkie de Jong akikabidhiwa jezi ya Barcelona na Rais wa klabu hiyo, Josep Maria Bartomeu baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 65 kutoka Ajax na kuifanya klabu hiyo ya Katalunya izipiku Manchester City na Paris Saint-Germain zilizokuwa zinamtaka pia kiungo huyo. Lakini de Jong aliyesaini mkataba wa miaka mitano atabakia Amsterdam hadi mwishoni mwa msimu ndipo atajiunga na klabu yake mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBRDA charts new path for Niger Delta bioeconomic transformation
-
The Director General and Chief Executive Officer (DG/CEO) of the National
Biotechnology Research and Development Agency (NBRDA), Prof. Abdullahi
Mustapha...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment