Frenkie de Jong akikabidhiwa jezi ya Barcelona na Rais wa klabu hiyo, Josep Maria Bartomeu baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 65 kutoka Ajax na kuifanya klabu hiyo ya Katalunya izipiku Manchester City na Paris Saint-Germain zilizokuwa zinamtaka pia kiungo huyo. Lakini de Jong aliyesaini mkataba wa miaka mitano atabakia Amsterdam hadi mwishoni mwa msimu ndipo atajiunga na klabu yake mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Deebo Trade 'More Likely' Than Brandon Aiyuk After 49ers Draft
Pearsall
-
Amid rumors that they will trade one of their star wide receivers, the San
Francisco 49ers drafted wide receiver Ricky Pearsall in the first round of
the NFL…
1 minute ago
0 comments:
Post a Comment