Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika ya 10 akimalizia pasi ya Leroy Sane na 39 kwa penalti ikiilaza Wolverhampton Wanderers 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Manchester City limefungwa na Conor Coady aliyejifunga dakika ya 78 katika harakati za kuokoa krosi ya Kevin De Bruyne na kwa ushindi huo wanapunguza pengo la pointi wanazozidiwa na Liverpool hadi kubaki nne (57-53) baada ya timu zote kucheza mechi 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Children to be banned from using phones in schools in England by law
-
The British government said it will pass legislation to bar smartphones
from schools in England amid a broader battle over whether to ban social
media.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment