Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika ya 10 akimalizia pasi ya Leroy Sane na 39 kwa penalti ikiilaza Wolverhampton Wanderers 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Manchester City limefungwa na Conor Coady aliyejifunga dakika ya 78 katika harakati za kuokoa krosi ya Kevin De Bruyne na kwa ushindi huo wanapunguza pengo la pointi wanazozidiwa na Liverpool hadi kubaki nne (57-53) baada ya timu zote kucheza mechi 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US eases sanctions on Russian oil sales to India during Iran conflict
-
Treasury Secretary Scott Bessent gives India a 30-day waiver to buy Russian
crude as a "stop gap measure".
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment