Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika ya 10 akimalizia pasi ya Leroy Sane na 39 kwa penalti ikiilaza Wolverhampton Wanderers 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Manchester City limefungwa na Conor Coady aliyejifunga dakika ya 78 katika harakati za kuokoa krosi ya Kevin De Bruyne na kwa ushindi huo wanapunguza pengo la pointi wanazozidiwa na Liverpool hadi kubaki nne (57-53) baada ya timu zote kucheza mechi 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Execs Expect 'Active' Summer on Trade Market Due to New CBA
Restrictions
-
The upcoming NBA offseason is reportedly expected to be a busy one for
teams hoping to avoid penalties imposed on high-spending franchises by the
new…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment