• HABARI MPYA

    Tuesday, January 15, 2019

    JESUS ALIVYOING'ARISHA MANCHESTER CITY JANA ETIHAD

    Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika ya 10 akimalizia pasi ya Leroy Sane na 39 kwa penalti ikiilaza Wolverhampton Wanderers 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Manchester City limefungwa na Conor Coady aliyejifunga dakika ya 78 katika harakati za kuokoa krosi ya Kevin De Bruyne na kwa ushindi huo wanapunguza pengo la pointi wanazozidiwa na Liverpool hadi kubaki nne (57-53) baada ya timu zote kucheza mechi 22 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JESUS ALIVYOING'ARISHA MANCHESTER CITY JANA ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top