Leroy Sane (kushoto) na Raheem Sterling (kulia) wakimpongeza Danilo baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa John Smith. Raheem Sterling alifunga bao la pili dakika ya 54 na Leroy Sane la tatu dakika ya 56 na kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 56 baada ya kucheza mechi 23, ikiendelea kukaa nafasi ya pili nyuma ya Liverpool yenye pointi 60 sasa baada ya kucheza mechi 23 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Marseille's crisis after Roberto De Zerbi: How Mason Greenwood's
'nonchalant attitude has irritated coaching staff', why he could leave the
club this summer - and the 'unrecognisable' former Spurs star who typifies
their dismal form
-
Marseille and chaos fit like hand in glove and this season has been a
typically bumpy ride for fans of the French club. Even a team bonding trip
to Marbell...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment