Leroy Sane (kushoto) na Raheem Sterling (kulia) wakimpongeza Danilo baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa John Smith. Raheem Sterling alifunga bao la pili dakika ya 54 na Leroy Sane la tatu dakika ya 56 na kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 56 baada ya kucheza mechi 23, ikiendelea kukaa nafasi ya pili nyuma ya Liverpool yenye pointi 60 sasa baada ya kucheza mechi 23 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
☕ Morning Recap: A look at Futaa's top stories from yesterday
-
Liverpool was given a lifeline in the Premier League title race after West
Ham held Man City to a 2-2 draw with Everton getting dragged to the
relegation f...
Dakika 9 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni