Leroy Sane (kushoto) na Raheem Sterling (kulia) wakimpongeza Danilo baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa John Smith. Raheem Sterling alifunga bao la pili dakika ya 54 na Leroy Sane la tatu dakika ya 56 na kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 56 baada ya kucheza mechi 23, ikiendelea kukaa nafasi ya pili nyuma ya Liverpool yenye pointi 60 sasa baada ya kucheza mechi 23 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024: Round 1 Grades for Every Pick
-
The excitement for the 2024 NFL draft is palpable. It's not just fans,
whose hope for every draft pick knows no bounds. Even those within the
league are…
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment