Mchezaji wa Mbao FC, Ibrahim Njohole akikabidhiwa mfano wa hundi wa dola 500 za KImarekani, zaidi ya Sh. Milioni 12. za Tanzania baada ya kuchaguliwa Mchezaji Bora wa mechi dhidi ya Gor Mahia ya Kenya jana katika mchezo wa SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Mbao ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare ya 1-1 na kwenda Nusu Fainali ambako itakutana na Kariobangi Sharks
Troubled AFL star Ben Cousins plays for the West Coast Eagles for the first time in 16 years
-
Footy legend Ben Cousins has taken to the field in a West Coast Eagles
jersey for the first time since 2007, with the troubled footy star's
redemption stor...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment