Mchezaji wa Mbao FC, Ibrahim Njohole akikabidhiwa mfano wa hundi wa dola 500 za KImarekani, zaidi ya Sh. Milioni 12. za Tanzania baada ya kuchaguliwa Mchezaji Bora wa mechi dhidi ya Gor Mahia ya Kenya jana katika mchezo wa SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Mbao ilishinda kwa penalti 4-3 baada ya sare ya 1-1 na kwenda Nusu Fainali ambako itakutana na Kariobangi Sharks
Arsenal to have a meeting with Saka's agent over new contract talks
-
Arsenal is set to sit Bukayo Saka's agent in the summer for talks over a
new contract. The youngster's current deal is expiring in 2024 and Arsenal
are in ...
Dakika 16 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni