Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hilo likiwa bao la 25 kwa Muargentina huyo katika mechi 24 za mashindano yote msimu huu. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Ousmane Dembele dakika ya 32 na Luis Suarez dakika ya 71 na kwa ushindi huo, timu hiyo ya Katalunya inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 20 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Atlético Madrid wanaofuatia nafasi ya pili na 10 zaidi ya Real Madrid walio nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea takeover 'on verge of being approved' after legal resolution found
-
The developments comes just 24 hours after the takeover had been plunged
into fresh doubt over the oligarch's alleged 'refusal to agree' to a
proposed sale...
Dakika 26 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni