Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la tatu dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hilo likiwa bao la 25 kwa Muargentina huyo katika mechi 24 za mashindano yote msimu huu. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Ousmane Dembele dakika ya 32 na Luis Suarez dakika ya 71 na kwa ushindi huo, timu hiyo ya Katalunya inafikisha pointi 46 baada ya kucheza mechi 20 ikiendelea kuongoza La Liga kwa pointi tano zaidi ya Atlético Madrid wanaofuatia nafasi ya pili na 10 zaidi ya Real Madrid walio nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Marseille's crisis after Roberto De Zerbi: How Mason Greenwood's
'nonchalant attitude has irritated coaching staff', why he could leave the
club this summer - and the 'unrecognisable' former Spurs star who typifies
their dismal form
-
Marseille and chaos fit like hand in glove and this season has been a
typically bumpy ride for fans of the French club. Even a team bonding trip
to Marbell...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment