Gabriel Jesus akishangilia kwa ishara ya kupiga simu baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 23 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley leo kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Manchester City yamefungwa na Bernardo Silva dakika ya 52, Kelvin De Bruyne dakika ya 61, Kevin Long aliyejifunga dakika ya 73 na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 85 na kwa ushindi huo timu ya Pep Guardiola inakwenda Raundi ya Tano ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Marseille's crisis after Roberto De Zerbi: How Mason Greenwood's
'nonchalant attitude has irritated coaching staff', why he could leave the
club this summer - and the 'unrecognisable' former Spurs star who typifies
their dismal form
-
Marseille and chaos fit like hand in glove and this season has been a
typically bumpy ride for fans of the French club. Even a team bonding trip
to Marbell...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment