Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza kwa penalti dakika ya 27 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brighton and Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao la pili la Man United limefungwa na mshambuliaji Marcus Rashford dakika ya 42, wakati la Brighton limefungwa na Pascal Gross dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Feyenoord ready to conclude deal for Arne Slot to become Liverpool's new
manager - which could cost the Reds £13m and be finalised THIS weekend
-
SAMI MOKBEL: Advanced talks between the two clubs will continue on Friday
with the expectancy at the Dutch club that those discussions will reach a
positiv...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment