Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza kwa penalti dakika ya 27 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brighton and Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao la pili la Man United limefungwa na mshambuliaji Marcus Rashford dakika ya 42, wakati la Brighton limefungwa na Pascal Gross dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers' Lackluster Power Play Slammed by Fans in Game 2 Loss to Hurricanes
-
The New York Rangers are now down 2-0 to the Carolina Hurricanes in their
second
Dakika 33 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni