Mshambuliaji Muargentina, Gonzalo Higuain akiwa ameshika jezi namba 9 ya Chelsea jana mjini London baada ya kukamilisha uhamisho wake wa mkopo kutoka AC Milan hadi mwsihoni mwa msimu, dili ambalo linaweza kuifanya The Blues imtoe kwa mkopo, mshambuliaji wa Hispania, Alvaro Morata kwenda Atletico Madrid ya kwao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBRDA charts new path for Niger Delta bioeconomic transformation
-
The Director General and Chief Executive Officer (DG/CEO) of the National
Biotechnology Research and Development Agency (NBRDA), Prof. Abdullahi
Mustapha...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment