LEOPARDS WALIVYOJIFUA LEO DAR KUJIANDAA NA KOMBE LA SPORTPESA
Mshambuliaji Mtanzania wa AFC Leopards ya Kenya, Marcel Kaheza akizungumza na Waandishi wa Habari leo Uwanja wa JMK Park, eneo la Gerezani mjini Dar es Salaam wakati wa mazoezi ya timu yake kujiandaa na michuano ya tatu ya Kombe la SportPesa inayotarajiwa kuanza Januari 22 hadi 27 mwaka huu Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Wachezaji wa AFC leopards wakifanya mazozi leo JMK Park kujiandaa na michuano ya SportPesa
Kocha wa AFC Leopards akitoa maelekezo kwa mchezaji wake leo JMK Park
Marcel Kaheza aliyejiunga na AFC Leopards mwezi uliopita kutoka Simba SC akiwa mazoezini leo
Wachezaji wa AFC Leopards wakifurahia leo Uwanja wa JMK Park
Kerr on why Commonwealth mile glory matters to him
-
Josh Kerr didn't dream about being the fastest person ever to run a mile
when he was a kid. He dreamed of pulling on a Scotland vest in the
Commonwealth Ga...
0 comments:
Post a Comment