LEOPARDS WALIVYOJIFUA LEO DAR KUJIANDAA NA KOMBE LA SPORTPESA
Mshambuliaji Mtanzania wa AFC Leopards ya Kenya, Marcel Kaheza akizungumza na Waandishi wa Habari leo Uwanja wa JMK Park, eneo la Gerezani mjini Dar es Salaam wakati wa mazoezi ya timu yake kujiandaa na michuano ya tatu ya Kombe la SportPesa inayotarajiwa kuanza Januari 22 hadi 27 mwaka huu Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Wachezaji wa AFC leopards wakifanya mazozi leo JMK Park kujiandaa na michuano ya SportPesa
Kocha wa AFC Leopards akitoa maelekezo kwa mchezaji wake leo JMK Park
Marcel Kaheza aliyejiunga na AFC Leopards mwezi uliopita kutoka Simba SC akiwa mazoezini leo
Wachezaji wa AFC Leopards wakifurahia leo Uwanja wa JMK Park
Monday's Scottish Gossip
-
Arsenal manager Mikel Arteta says he recommends Glasgow as a transfer
destination as Celtic forwards talk about their Japan absences.
WAKAZI WA TABATA WAKUTANA NA NEEMA YA TUWODO
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tuinuke Women Development Organization ( TUWODO ),
Bi. Awena Omar Shaib akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wakazi wa Tabata
Liwiti j...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment