• HABARI MPYA

    Thursday, January 24, 2019

    CHAMA AANZA VYEMA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP, ABEBA TUZO

    Mkurugenzi wa Michezo, Dk.Yussuf Singo akimkabidhi kiungo Mzambia Simba SC, Clatous Chama mfano wa hudi ya dola 500, zaidi ya Sh. Milioni 1.2 za Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa Mechi dhidi ya AFC Leopards michuano ya SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-1  na kufanikiwa kutinga Nusu Fainali na sasa itamenyana na Bandari ya Kenya pia 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHAMA AANZA VYEMA MICHUANO YA SPORTPESA SUPER CUP, ABEBA TUZO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top