Mkurugenzi wa Michezo, Dk.Yussuf Singo akimkabidhi kiungo Mzambia Simba SC, Clatous Chama mfano wa hudi ya dola 500, zaidi ya Sh. Milioni 1.2 za Tanzania baada ya kuwa Mchezaji Bora wa Mechi dhidi ya AFC Leopards michuano ya SportPesa Super Cup jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-1 na kufanikiwa kutinga Nusu Fainali na sasa itamenyana na Bandari ya Kenya pia
Black Stars: Ghana FA should announce the new head coach soon- Alhaji GrunsahÂ
-
Veteran Ghanaian football administrator Alhaji Karim Grunsah has urged the
Ghana FA to announce a coach for the Black Stars ahead of the upcoming
Africa Cu...
Dakika 22 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni